Tsh. 170,000/=
UFAFANUZI
- Ni kifaa kinachotumika kwenye ufungaji wa satellite dish wakati unapotafuta signal.
- Combo hii inauwezo wa kutafuta signal za antena ya kawaida ya king'amuzi DVB T2.
- Ina uwezo wa kusoma signal zote, ziwe za C band au Ku band, (13V/18V) V au H.
- Ina uwezo wa kukamata signal za HD (mpeg 4, Dvb s2) na za kawaida (mpeg 2, Dvb s).
- Betri yake ina uwezo wa kukaa na chaji kwa masaa zaidi ya nane ukiwa unaitumia bila kuzima.
- Inauwezo wa kuandika frequency ya channel husika unapotafuta signal.
- Ina uwezo wakukuonyesha msitari wa lnbf (bars) kwenye screen pindi unapofunga waya wa lnbf.
- Ina uwezo wa kukuonyesha mstari wa signal (bars) kwenye screen pindi upatapo signal.
- Ina uwezo kuungwa na DISEQ switch, ina uwezo wa kujilinda na shoti ya LNB.
- Ina USB port kwa ajili ya ku update software pale inapohitajika.
- Ina uwezo wa kuchajiwa betri yake iwe kwa umeme wa kawida AC 220v au DC 12v.